• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wakulima wa Korosho Wameomba Serikali Iwasidie Kudhibiti Wizi wa Korosho Mashambani

Posted on: July 8th, 2022

Wakulima wa zao la korosho katika halmashauri ya wilaya ya Kibaha wameomba  serikali kuwatafutia suluhisho la wizi wa korosho  kwani wamekuwa wakipata hasara kutokana na korosho nyingi kuokotwa na wezi.

Wakulima hao wametoa ombi hilo kwa Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha  Butamo Ndalahwa alipofanya ziara ya kukagua utekelezaji wa zoezi la kugawa viwatilifu vya zao la korosho ambavyo vimetolewa bure kwa  wakulima wa korosho ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo hapa nchini.

Moses Benard  Mtandala ni mkulima wa zao la korosho amesema wamekuwa wakitumia gharama kubwa kuandaa mashamba na kuhudumia kosrosho lakini kipindi cha mavuno  hawapati chochote kwani wezi huingia mashambani na kuokota korosho usiku na kwenda kuwauzia kangomba ( wabanguaji wa mtaani) Hivyo mkulima huyo alitoa ombi kwa serikali kuthibiti  biashara ya kangomba badala yake kosrosho zote zipelekwe ghalani

Akiongea kwenye ziara hiyo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kibaha Butamo Ndalahwa amewapongeza maafisa ugani kwa kusimamia vizuri zoezi la kugawa viwatilifu hivyo na kuwataka wakulima wa korosho kuhakikisha wanauza korosho zao katika mfumo wa stakabadhi ghalani na kuacha kuuza kwa  kangomba hii itawasaidia kupata mgao mkubwa wa viwatilifu kwa mwaka unaofuta

Aidha Afisa Kilimo wa Wilaya eveline Ngwira alisema walipokea jumla ya mifuko 6750 ya sulpher pamoja na dawa za maji (indazole25-sc) lita 576 ambazo zimegawiwa kwa wakulima wa korosho waliosafisha mashamba .

Eveline aliongeza kuwa viwatilifu viligawiwa kwa wakulima walosafisha mashamba tu hivyo kuwataka wakulima wengine kusafisha mashamba yao ili waweze kupata viwatilifu kwa awamu I nayofuata

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili June 28, 2022
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KIBAHA DC TAREHE 29-07-2022 July 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi May 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI AJIRA MPYA July 04, 2022
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Kamati ya Fedha Mipango na Uongozi Imefanya ziara ya Kukagua miradi

    July 25, 2022
  • Wakulima wa Korosho Wameomba Serikali Iwasidie Kudhibiti Wizi wa Korosho Mashambani

    July 08, 2022
  • Halmashauri ya Wilaya ya kibaha Imefanya Maadhimisho ya siku ya afya ya Kijiji

    July 05, 2022
  • Waliosababisha Hasara Katika Hoja za Ukaguzi wa Mahesabu Wachukuliwe Hatua -Rc Kunenge

    June 16, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.