• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Utawala na Rasilimali Watu

 WATUMISHI

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita 2005 mpaka 2015 kumekuwepo na ongezeko la watumishi wa kada mbalimbali kutoka 600 hadi watumishi 1436. Watumishi wapato 602 walishiriki mafunzo, semina warsha na makongamano mbalimbali kwenye vyuo mbalimbali kuwajengea uwezo na kuongezea stadi za kazi kwenye majukumu yao ya kila siku.

Mafunzo ya muda mrefu Shahada ya uzamili, Shahada, Stashahada ya juu Shahada – 38 Mafunzo ya muda mfupi Astashahada 164, na Semina/warsha/kongamamo 400. Pia halmashauri katika kipindi hicho imeajiri watumishi wapatao 836 kwenye Idara mbalimbali. Aidha katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015 watumishi wapatao 672 walithibishwa kazini na kupandishwa cheo.

JEDWARI NA. 2: IDADI YA WATUMISHI 

IDARA

IDADI YA WATUMISHI

Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu

102

Divisheni ya Mipango na Uratibu

    7

Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara  na Uwekezaji

  4

Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini

  16

Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe

298

Divisheni ya Maendeleo ya Jamii

  22

Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
                                               63
Divisheni ya Elimu Sekondari

333   

Divisheni ya Elimu ya Awali  Msingi

514  

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi

Kitengo chaICT

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
1
Kitengo cha Fedha na Uhasibu

    

Kitengo cha Usimamizi wa Sheria

    1

Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira

    4 

Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka

Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
1
JUMLA YA WATUMISHI

      1436



Chanzo Idara ya Utumishi 2015

 

 

3.0  UTAWALA BORA    

Dhana ya Utawala Bora inaendelea kuimarishwa katika nyanja za Demokrasia, Ushirikishwaji wa wananchi, Utawala wa sheria, Uadilifu wa uongozi na watendaji, uwazi na uwajibikaji, ufanisi wa utendaji kazi, uzingatiaji wa jinsia, Taratibu za upangaji mipango shirikishi, stadi za upangaji mipango na matumizi ya takwimu zimezingatiwa ipasavyo na kwa ustadi mkubwa.

Masanduku ya maoni yamewekwa katika sehemu mbalimbali ili wananchi waweze kutoa maoni yao ambapo imesaidia kero mbalimbali za wananchi kuendelea kushughulikiwa. Aidha, taarifa za mapato na matumizi zimekuwa zikitolewa kwa uwazi kwa wananchi.

Mafunzo ya demokrasia yameendelea kutolewa katika wilaya yote na ualikaji wa wananchi kuhudhuria vikao vya Baraza (Full Council) umefanyika kwa ufanisi mkubwa. Halmashauri na Wilaya imekuwa ikifanya vikao vya DCC na Bodi za Zabuni kama   ilivyopangwa, na zabuni kutolewa kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za manunuzi (The Public Procurement Act, 2004 and The Public Procurement Regulation, 2005).

 

Vikao vya Halmashauri

Halmashauri ina vikao vifuatavyo;

  • Vikao vya Baraza la Madiwani
  • Vikao vya Kamati ya Fedha, Uongozi, na Miapngo
  • Vikao vya Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
  • Vikao vya Kamati ya Elimu, Afya, Maji na Maendeleo ya Jamii
  • Vikao vya Kamati ya Maadili
  • Vikao vya Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
  • Vikao vya Kamati ya Ukaguzi
  • Vikao vya Bodi ya Vileo
  • Vikao vya Timu ya Menejimenti ya Halmashauri (CMT)
  • Vikao vya Baraza la Wafanyakazi

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.