• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Maendeleo ya Viwanda Biashara na Uwekezaji

Majukumu ya Idara ya Mifugo na Uvuvi

  • Kubuni mipango ya uzalishaji mifugo.
  • Kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na mifugo.
  • Kuratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataalu wa mifugo na wafugaji.
  • Kubuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo.
  • Kutafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali.
  • Kufanya utafiti juu ya uihalibifu wa mazingira.
  • Kushiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama na viumbe waharibifu wa malisho.
  • Kuandaa taarifa ya robo, nusu na mwaka  juu ya maendeleo ya mifugo.
  • Kufuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.
  • Kusimamia huduma zote za afya ya mifugo afya ya umma na wanyama.
  • Kuandaa mipango ya muda mfupi na mrefu ya kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya wanyama.
  • Kukusanya, kuchambua, kuhifadhi, kusambaza na kutumia data za magonjwa ya mifugona taarifa nyingine.
  • Kuratibu matumizi ya maji ya mifugo na uhifadhi wa maeneo ya malisho na vyanzo vya maji.
  • Kuelimisha wafugaji juu ya matumizi bora ya nyanda za malisho.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria za nyanda za malisho na vyanzo uzalishaji wa vyakula vya mifugo.
  • Kuhamasisha utunzaji na uhifadhi wa nyanda za malisho kwa mbinu za asili.
  • Kuelimisha na kuhamasisha matumizi ya mabaki ya mazao na masalia ya mazao.
  • Kupunguza migogoro kati wafanya biashara wakubwa wa binadamu na wazalishaji wa vyakula vya mifugo.
  • Kusajili na kusimia sekta binafsi za mifugo.
  • Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika uzalishaji wa nyama na ngozi.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria ya mifugo na sheria ya ngozi.
  • Kuhamasisha uzalishaji, ukusanyaji na utunzaji na uuzaji wa ngozi bora.
  • Kuongeza thamani ya ngozi.
  • Kutoa mafunzo kwa wadau mbalimbali wa ngozi.
  • Kuhamasisha matumizi ya masoko bora ya mifugo.

Kutekeleza sera ya uvuvi.

Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.

Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira.

Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa, mito, mabwawa na malambo.

Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu uvuvi bora, utengenezaji na uhifadhi bora wa samakina mazao ya uvuvi, biashara na masoko ya samaki pamoja ufugaji wa samaki na viumbe wengine wa majini.

Kutoa leseni za uvuvi.

Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.

Kusimamia na kutekeleza sharia za uvuvi (k.m kuzuia uvuvi haramu).

Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli.

Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.

Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ta uendelezaji na matumizi enelevu ya rasilimali za uvuvi.

Kukagua ubora wa samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya kitaifa.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.