• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wadau wa Elimu Kata ya Mtongani Wamekutana kujadili Namna ya Kuboresha Elimu ya Watu Wazima

Posted on: October 17th, 2023

WADAU wa Elimu Kata ya Mtambani wakiwemo Wataalamu wa Serikali ngazi ya Wilaya na Kata wamekutana katika Kituo cha Jamii cha Kujifunzia Ruvu JKT.


Wamekutana katika kituo hicho kwa lengo la kujadili namna ambayo kila mmoja atatoa mchango wake katika kuelimisha watu wazima.


Akizungumza kwenye kikao hicho, mwezeshaji kutoka Shirika la DVV International, Mateo Mwita amewataka wataalamu kutumia taaluma zao kuwasaidia wanaosoma Elimu ya Watu Wazima ili waweze kujipatia kipato katika shughuli zao za kila siku.


"Dhana ya Elimu ya Watu Wazima imebadilika siyo kusoma, kuandika na kuhesabu tu, bali tunakuja na dhana ya kuwajengea uwezo wananchi katika kujipatia kipato na kuwa na maisha bora" amesema Mateo.


Mateo amesema katika Kituo cha Jamii cha Ruvu JKT, pamoja na kufundishwa kusoma, kuandika na kuhesabu; pia ujuzi mbalimbali utafundishwa ikiwemo ujasiriamali, elimu ya kuweka na kukopa, ufugaji, uvuvi, kilimo na elimu kwa vijana wa bodaboda.


Vilevile, Mateo amesema wana lengo la kuanzisha kituo cha watoto ili kuwasaidia kina mama wanaokuja na watoto waweze kuwaacha kwenye kituo na wao waendelee na masomo bila usumbufu.


Afisa Elimu ya Watu Wazima, Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, Mektilida Kahindi amesema kwa sasa wanaendelea na uandikishaji wa wanakisomo wa Elimu ya Watu Wazima ambao wataanza masomo Januari, 2024 na kwamba hadi sasa walioandikishwa ni 153 ambapo wanaume ni 27;  na wanawake ni 126.


Kahindi amesema wanajamii ya Mtambani wana mwamko mkubwa wa kujielimisha; hivyo wenyeviti wa vitongoji waliohudhuria kikao hicho wanatakiwa wachukue hatua ya kukitangaza kituo kwa wananchi ili wengine wajiunge na wafaidike na kituo hicho.


 Mshiriki wa kikao hicho ambae ni Mmwenyekiti wa kitongoji cha Said Domo, John Pili amesema kuwa kutokana na elimu waliyopewa na mikakati waliyopanga, kuna matarajio ya Wananchi wa Mtambani na Halmashauri kwa jumla kunufaika kwa wingi.


Pili alisema kuwa mwaka mmoja baadaye  jamii itashuhudia mabadiliko makubwa  kwa wanakisomo watakaojiunga na Elimu ya Watu Wazima kwani mambo mazuri yatafundishwa.


Kituo cha Jamii cha Kujifunzia cha Ruvu JKT kinadhaminiwa na Shirika la DVV International.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.