• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rc Kunenge Atatua Mgogoro wa Ardhi Kikongo

Posted on: October 30th, 2023

RCKunenge atatua Mgogoro ardhi Kikongo Kibaha DC


Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametatua mgogoro wa ardhi baina ya mwekezaji Trans Continental na wananchi wa kata ya Kikongo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha.

Wananchi 214 wa Kata ya Kikongo walilikuta eneo la mwekezaji huyo ambae alikuwa anamiliki ene hilo kihalali tangu mwaka 1987 na kuanza kufanya uendelezaji makazi kinyume na sheria.

Kunenge ametoa maamuzi hayo leo Oktoba 30, 2023 kwenye mkutano wa hadhara uliowahusisha Katibu Tawala wa mkoa, wananchi, watalaam wa halmashauri na mkoa.

Amesema hatua hiyo imetokana na jitihada za serikali kutafuta ufumbuzi wa migogoro inayowakabili wananchi.

“Mnatakiwa kufahamu kwamba eneo hili ni mali ya mwekezaji, mmelivamia sasa kwa busara nimemuomba mwekezaji  awamegee eneo muanzishe makazi yenu kama kuna mtu hajaridhika anaweza kufuata sheria,” amesema Kunenge.

Mwekezaji wa shamba shamba namba 30/1 Abdrahim Zahran amekubali ombi la Mkuu wa mkoa kutoa eneo kwa ajili ya wananchi waliovamia shamba lake ambapo kila mwananchi atapewa eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 500.

Kuhusu eneo kwa ajili ya wananchi hao, amesema watagawa kulingana na vipaumbele vyao kwa sababu  wamepanga kufanya uwekezaji wa miradi mingine.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 16, 2023
  • VITUO VYA KUFANYIA USAILI KUANZIA TAREHE 21.09.2023 September 18, 2023
  • Kuitwa Kazini October 02, 2023
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2023
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Yavuka Malengo ya Ukusanyaji mapato

    November 23, 2023
  • Wadau wa Elimu Kata ya Mtongani Wamekutana kujadili Namna ya Kuboresha Elimu ya Watu Wazima

    October 17, 2023
  • Rc Kunenge Atatua Mgogoro wa Ardhi Kikongo

    October 30, 2023
  • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Wamefanya Ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo Iliyotekelezwa kwa Robo ya Kwanza 2023/2024

    November 01, 2023
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.