• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Makala Atoa Wito kwa Kaya Maskini Kuibua Miradi ya Miundombinu

Posted on: April 19th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Vijijini Erasto Makala ametoa wito kwa kaya masikini zitakazoingia kwenye utekelezaji wa sehemu ya pili ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) awamu ya tatu kuhakikisha wanaibua miradi ya miundombinu.

Makala alitoa wito huo jana wakati wa kikao cha siku moja cha kujenga uelewa kuhusu kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya TASAF na kutoa muongozo wa utambuzi na uandikishaji wa kaya za walengwa katika eneo la utekelezaji kilichofanyika Mlandizi na kuwashirikisha Madiwani, wakuu wa idara na wawezeshaji.

Mwenyekiti huyo alisema katika awamu iliyopita ya utekelezaji wa TASAF ipo miradi ilitekelezwa ikiwemo mradi wa lambo la maji Lukenge na Magondu ambayo imekuwa imeondoa kero iliyokuwepo awali.

Alisema  kaya zitakazoingia kwenye mpango katika awamu hii zinatakiwa kuibua ubovu wa miundombinu katika maeneo yao hususani barabara.

"Nawashukuru TASAF kwa lengo lao la kunusuru kaya masikini, nawaomba katika awamu hii pia wajikite  miundombinu ya vyumba vya madarasa naamini wataendelea kufanya mambo.makubwa kuliko awali, na kaya za walengwa zitafanya kazi kwa bidii kujiongezea kipato" alisema Makala.

Naye Diwani wa viti maalumu Josephine Gunda alisema kaya zilizonufaika katika awamu iliyopita zimekuwa na mabadiliko kiuchumi ambapo aliomba idadi ya kaya za wanufaika iongezwe kwani walioachwa awali walikua wengi.

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Afisa kutoka katika Mfuko huo Zuhura Mdungi alisema utekelezaji wa moango wa kunusuru kaya masikini  pia umewezesha kaya za walengwa kujikita kwenye shughuli za kukuza kipato na kujiimarisha kiuchumi ikiwemo ufugaji, uvuvi, Kilimo na biashara.

Zuhura alisema katika kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya TASAF kitafikia zaidi ya kaya milion 1450,000 zenye watu zaidi ya milion saba kote nchini ikiwa ni nyongeza ya kaya 350,000.

Alisema mpango huo utawezesha kaya masikini zinazoishi katika hali duni  hususani watoto na akina mama wajawazito kupata lishe bora, husuma za afya na Elimu.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.