• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imekabidhi Madarasa 30 kwa Mkuu wa Willaya ya Kibaha

Posted on: January 14th, 2022

Kukamilika kwa ujenzi wa vyumba 30 vya madarasa kwa shule za msingi na Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani kutawezesha uwepo wa ongezeko la wanafunzi kutoka 7,275 hadi kufikia 8690  hali inayoelezwa kuwa ni njia moja wapo ya kuinua kiwango cha Elimu kwa jamii.

Kabla ya ujenzi huo Halamashauri hiyo imekuwa na changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa 7 hali ambayo imekuwa ikisababisha wanafunzi kusoma wakiwa wamelundikana kwa chumba kimoja zaidi ya 50 hivyo kushindwa kusoma kwa nafasi.

Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Elimu Halmashauri hiyo aliyoisoma kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Sara Msafiri jana alisema kuwa ujenzi wa madarasa hayo umetokana na pesa za uvico na kwamba mpaka sasa wameshakamilisha ujenzi kwa asilimia 100.


Alisema kuwa Halmashauri hiyo ilipokea sh. m. 600 kwaajili ya ujenzi wa vyumba 30 vya madarasa ambapo kati ya hivyo 20 vya shule ya sekondari na 10 ni upande wa shule za msingi.

Alisema kuwa katika ujenzi huo pia wamefanikiwa kujenga shule mpya ambazo zitawezesha kupokea wanafunzi wa sekondari wa kidato cha kwanza na wale wa vidato vingine ambao awali walikuwa walikuwa wanalazimika kutembea umbali wa km 10 kwa siku kufuata masomo kutokana umbali wa makazi na maeneo ya shule.

"Mpaka sasa tumeshakamilisha hatua zote na tuna uhakika kuwa jumatatu ya january 17 wanafunzi wote wataanza masomo na hatutakuwa na awamu mbili za kuwapangia shule wanafunzi wote waliofaulu"alisema.

Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Michael Mwakamo aliwataka walimu na wanafunzi watakaoyatumia madawati pamoja na madarasa hayo kuyatunza ili yatumike kwa vizazi vilivyopo na vile vijavyo.

"Akizungumza baada ya kupokea vyumba hivyo vya madarasa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Sara Msafiri alisema kuwa wanafunzi wa shule za sekondari na msingi Wilayani huko watakaobainika kuvunja madawati kwa makusudi wazazi wao wataajibika kulipa ili kulipa mafundi watakaotengeneza.

Alisema kuwa kutokana n juhudi zilizofanywa naSerikali kukopa pesa na kughalimia ujenzi huo halipaswi kuweka mchezo na kuwafumbia macho watu wachache watakaoonekana kurudisha nyuma jitihada hizo.



Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.