• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Kuwachukulia Hatua Wasiorejesha Mikopo

Posted on: August 16th, 2023

Baraza  la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya  ya Kibaha limewafukuza kazi watumishi wawili kwa tuhuma za kukiuka kanuni za utumishi wa Umma.


Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Erasto Makala ameyaeleza hayo jana katika kikao cha Baraza hilo cha kawaida kilichofanyika katika Ofisi za Halmashauri hiyo ambapo alisema hatua hiyo ni moja ya kufikisha ujumbe kwa watumishi wasio waadilifu.


Makala alisema waliofukuzwa kazi ni pamoja na Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Soga kata ya Soga Winnie Sambo ambaye anatuhumiwa kuhusika na  upotevu wa vitabu 20 vya kukusanyia mapato.


Aidha Sambo anatuhumiwa kuhusika na upotevu wa fedha zaidi ya sh.Miln 3 ambazo zinadaiwa kutumika katika shughuli mbalimbali bila kufuata taratibu.


Mwingine ni Mwanaasha Yusuph  Afisa Maendeleo ya Jamii kata ya Kwala ambaye anatuhumiwa kutumia zaidi ya sh. Miln 28 ambazo zilikuwa ni marejesho ya mikopo ya vikundi .


Kwa mujibu wa Makala Afisa Maendeleo huyo  anadaiwa kutumia fedha hizo kwa ajili ya matibu fedha ambayo ilitakiwa irejeshwe ili iingie kwenye mzunguko wa kuwezesha vikundi vingine kukopa.


" Hawa watumishi wameenda kinyume na kanuni ya Utumishi ya 42 ya mwaka 2022 tumelazimika kuchukua hatua hii kwakua hatupendi kuona mambo haya yanatokea kwenye Halmashauri yetu kila mmoja anatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na taratibu " alisema.


Awali Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Butamo Ndalahwa alisema wamejipanga kusimamia na kuchukua hatua maelekezo yote yaliyotolewa na Baraza la Madiwani.


Ndalahwa alisema hatua za kinidhamu na onyo dhidi ya watumishi waliotolewa maelekezo na Baraza hilo yatafanyiwa kazi kuhakikisha kunakuwa na utendaji mzuri katika kuondoa kero za wananchi wanaowatumikia.


Moha ya maelekezo yaliyotolewa katika Baraza hilo ni pamoja na Mkaguzi wa ndani wa hesabu za Serikali kifika kwenye vijiji kukagua matumizi na mapato.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.