• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kibaha Dc Yapitisha Bajeti ya Bilioni 29.3

Posted on: February 11th, 2019

KIBAHA DC YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 29.3

Halmashauri ya Wilaya ya kibaha Mkoani Pwani,imepitisha mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 jumla ya Tsh 29,388,131,372.60 kwenye kikao cha baraza maalum la Madiwani lililofanyika kwenye ukumbi wa wazee Mlandizi.

 Akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mhe. Mansour Kisebengo alisema kuwa lengo la kikao ni kupitia na kupitisha bajeti ya mwaka 2019/2020  itakayotoa mwanga wa nini kimepangwa kufanyika kwa mustakabali wa maendeleo ya Kibaha Vijijini.

Mwenyekiti amesema Kati ya fedha zilizotengwa kiasi cha Tshs. 1,986,514,976.40 ni makusanyo ya ndani,  Tshs. 1,022,836,000.00 ni  makusanyo yatokanayo na Mfuko wa Afya wa Jamii, ada, Bima na malipo ya papo kwa papo,  Tshs, 23,509,899,027.94 ni Mishahara ya Watumishi, Tshs.1,015,631,091.26 ni matumizi ya kawaida na Tshs. 1,853,250,277.00 ni miradi ya maendeleo.


Kisebengo alisema Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha  2019/2020 umeandaliwa kwa kuzingatia Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa miaka mitano awamu ya pili unaolenga Uchumi wa Viwanda, Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, Sheria ya Bajeti, sura 439 na kanuni zake na Masuala yaliyosisitizwa katika mwongozo wa Mpango na Bajeti ya mwaka 2019/2020.

Mwenyekiti ametaja vipaombele kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kuwa ni kuendelea kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za afya,elimu ,utawala na kusimamia mpango wa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari.

Akiongea Wakati wa kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Kibaha Butamo Ndalahwa amesema atasimamia mapato ipasavyo na kuwataka watendaji wote wa halmashauri pamoja na madiwani kutoa ushirikiano kwenye swala zima la kukusanya mapato.



Matangazo

  • Matokeo Kidato cha Nne January 24, 2019
  • Wafanyabiashara ya mazao ya chakula September 14, 2018
  • Kusitishwa kwa Zoezi la Uhamisho August 28, 2018
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO PAMOJA NA KIDATO CHA TANO KIBAHA DC June 21, 2018
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Kibaha Dc Yapitisha Bajeti ya Bilioni 29.3

    February 11, 2019
  • Wakuu wa Mkoa wa Pwani Ametoa Onyo Kali kwa Wafugaji Wanaotumia Watoto Kuchunga Mifugo

    February 13, 2019
  • Rc Pwani Aridhishwa na Ujenzi wa Majengo Matano Kituo cha Afya Magindu

    February 09, 2019
  • Dc Kibaha AsisitizaMaadili Kwenye Malezi ya Watoto

    February 01, 2019
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.