• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAZEE WA HALMSHAURI YA WILAYA YA KIBAHA WAMEISHUKURU SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA KIJAMII

Posted on: December 6th, 2022

Kabla ya Uhuru katika eneo letu la Mlandizi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha tulikuwa tunatembea km 36 kwenda shule tofauti na ilivyo sasa lakini pia usafiri wa kwenda Dar es Salaam ilikuwa lazima tupande treni" alisema Mohamed Pongwe.

Mohamed Pongwe ni kati ya wazee wakongwe wanaoishi katika mji mdogo  wa Mlandizi ambaye alihamia hapo tangu mwaka 1956.

Akizungumza  jana mjini Mlandizi kuhusiana na mabadiliko ya kimaendeleo kabla ya Uhuru na hali ilivyo sasa ambapo alisema pamoja na kutokamilika kwa mahitaji kama inavyotakiwa lakini yapo ambayo wanaweza kuyaelezea.

Pongwe alieleza kuwa waliobahatika kusoma wengi wao walikuwa wakitembea umbali wa km 36 kwenda kupata huduma ya elimu katika shule ya msingi iliyokuwa katika eneo la Mzenga.

Pongwe anasema kwa sasa shule zimetapakaa watoto hawatembei umbali mrefu kupata huduma tena anasema elimu inatolewa bure watoto wanatakiwa kuvaa unifomu madawati wanayakuta shuleni bila gharama.

"Hata ukitaka kwenda Mkoa wa Dar es Salam tulikuwa tunatumia treni unatembea kutoka Mlandizi hadi Ruvu stesheni kusubiri treni hakukuwa na barabara zaidi ya njia ya kusafirisha watumwa iliyokuwa inaenda Bagamoyo" aliongeza.

“ Huduma za kijamiii zimeimarika kwani hospitali zimejengwa kila kona mfano kituo cha afya Mlandizi huduma zinazotolewa utadhani ni hospitali kubwa kwani huduma zote zinapatikana  tena tumeletewa hospitali ya wilaya tunaishukuru sana serikali yetu kwa kweli mabadiliko ni makubwa sana “ Alisema Pongwe

 Pia Pongwe Aliiomba Serikali kuwatengenezea mazingira ya kilimo cha umwagiliaji ambacho wanakuona kitakuwa na tija kwao.

Omari Hassani mkazi wa Mlandizi ambaye alisema alihamia katika Halmashauri hiyo tangu mwaka 1938 alisema yapo mabadiliko makubwa yamefanyika tangu uhuru .

Hassani alisema Serikali imeleta mabadiliko hususan kwenye huduma za afya ambapo wazee wana dirisha maalumu la kupata huduma jambo ambalo halikuwepo awali.

Pia Hospitali zimeboreshwa madawa yanapatikana aliishukuru Serikali kwa kuwaletea hospitali ya wilaya kwani anaamini huduma zote muhimu zitapatikana

“Tangu uhuru hatukuwa na Hospitali ya Wilaya tulikuwa tunatibiwa kwenye Zahanati na Vituo vya afya huduma nyingi tulikuwa tunaambiwa tuzifuate Tumbi lakini saivi serikali yetu imetuletea hospitali kwa kweli sisi wazee tunafurahi sana tunaishukuru serikali yetu kwa kutujali sisi wananchi wake” alisema Hassan

Wazee wengine katika eneo la Mlandizi walimshukuru Mhe. Dk.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna alivyoboresha  huduma za kijamii  hali inayoleta hamasa kwa wanafunzi kusoma kwa bidii kutokana na mazingira mazuri ya kujisomea yaliyopo.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.