• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waliosababisha Hasara Katika Hoja za Ukaguzi wa Mahesabu Wachukuliwe Hatua -Rc Kunenge

Posted on: June 16th, 2022

MKUU wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, ameagiza kuchukuliwa hatua wale wote wanaobainika kusababisha hasara kwenye hoja za ukaguzi wa mahesabu na kuhakikisha hoja zote ambazo hazijafungwa zifungwe ifikapo September 30 mwaka huu.


Vilevile ameagiza Halmashauri Mkoani hapo ,kuweka vipaombele ,kufungua wigo wa vyanzo vipya vya mapato na Kuwa wabunifu ili kukuza uchumi na kuongeza uwezo wa Halmashauri .


Akizungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Kibaha , wakati wa Kikao Maalumu cha Kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ,Kunenge aliwaasa watendaji kujenga tabia ya kuhifadhi na kutunza nyaraka ili kuepusha hoja ambazo zipo ndani ya uwezo wa kuzifunga.


"Utaratibu wa ukaguzi unafahamika kama ni nyaraka hazionekani mtapewa Muda wa kuweka mambo sawa kwanini mnasubiri kuletewa hoja za kujibu kwa maandishi? Inaonesha kuna watumishi wenye dharau ,wanaopuuzia mambo hamtoi Ushirikiano wakati wa kujibu Hoja.


Alionya kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kupuuzia mambo kwani kwa kufanya hivyo kunasababisha hatua za ukaguzi kukwama.


Kuhusu mabadiliko ya kiuchumi mkoa , Mkuu huyo wa mkoa alisema ni wakati wa kufanya mabadiliko ya kasi za ufanyaji kazi ili kupiga hatua zaidi ya kimaendeleo na kiuchumi.


"Watendaji na wataalamu muwe wabunifu unaoendana na spidi ya Serikali na Rais Samia Suluhu kuleta matokeo chanya kwa wananchi," mkoa bado unahitaji nguvu ya pamoja kuinua uchumi,'"! ambao bado kimkoa haupo vizuri kwani Hadi Sasa mkoa upo mkoa wa tatu kutoka mwisho"alifafanua Kunenge.


Kunenge aliziasa, Halmashauri hizo, kumaliza miradi yote viporo ,kuweka Mazingira Bora ya kuvutia wawekezaji pamoja na kutangaza fursa mkoa.


Mkaguzi Mkuu wa nje Mkoani Pwani ,Mary Dibogo alibainisha , wanaendelea na hoja nyingine za nyuma , wanashindwa kufunga baadhi ya hoja kutokana na Kuwa hawaoni namna ya kuzifunga .


Alitoa Rai Halmashauri zote ambazo bado Kuna hoja hazijafungwa ,wafunge hoja zilizobaki kwa muda waliopewa .


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mshamu Munde alieleza , Halmashauri hiyo imepata hati safi mwaka wa tatu mfululizo na kueleza hoja zilikuwa 50 ,zilizofungwa 31 ,bado 19 hazijafungwa .


Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha,Butamo Ndalahwa alielezea wamepata hati safi ,hoja 37 zimefungwa ," 26 hazijafungwa kati ya hizo 18 zipo nje ya uwezo wao kuzifunga.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • WWF YAKABIDHI MICHE YA MICHIKICHI KUHIFADHI KINGO ZA MTO RUVU

    May 24, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU NA UWEKAJI WAZI TAARIFA ZA MPIGA KURA AWAMU YA PILI YAFANYIKA KIBAHA

    May 14, 2025
  • WATAALAM WA AFYA PWANI WAKUTANA KUJADILI KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

    May 14, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA SIASA WARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KIBAHA DC

    May 07, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.