• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAFUGAJI WASIMAMIWE SOKO LA BIDHAA ZA MIFUGO ILI KUWAONGEZEA KIPATO

Posted on: May 13th, 2022

MKURUGENZI wa kiwanda cha Animal Care co.Ltd , Mlandizi,Kibaha Mkoani Pwani ,Dkt Salaa Hamdun amesema endapo Serikali itaendelea kutatua changamoto ya wafugaji katika usimamizi wa kupata soko la uhakika kwenye maziwa na bidhaa za mifugo pamoja na kuweka Bei elekezi itasaidia kuongeza kipato Chao. 

Akizungumza namna wanavyosaidiana na jamii inayowazunguka na Wafugaji , Mkurugenzi wa kiwanda hicho kinachozalisha vyakula vya mifugo na virutubisho alisema, bei bado ni ndogo kwa bidhaa za mifugo ukilinganisha na Gharama za vyakula ambazo zinapanda huku bei ya kuku sokoni ikiendelea kumbana mfugaji na mkulima moja kwa moja.

“Suala Kama Hilo Ni kusema Serikali isaidie wafugaji kuweza kusimamia masoko Yao na kucontrol bei maana bei ya maziwa , bidhaa za mifugo bado ndogo”;alifafanua Hamdun.

Hamdun alieleza kwamba, kiukweli wafugaji wanapata Faida ndogo na wakati mwingine kupata hasara kubwa hivyo sekta ya kilimo kupitia Serikali ni vyema ikatupia macho suala hili ili kupunguza makali ya kimaisha kwa kundi la wafugaji.

Vilevile alishukuru Serikali kwa kuendelea kusimamia wawekezaji na changamoto zinazowakabili hasa kutatua kero ya umeme,maji na baadhi ya miundombinu.

Alisema,kiwanda cha Animal Care sasa kinazalisha vyakula vya mifugo na virutubisho Tani 2,500 kwa mwezi na kutoa ajira 200 za moja kwa moja.

Hamdun alielezea , wanatumia malighafi za kitanzania kwa asilimia 90,”Tuna mchango ndani ya jamii inayotuzunguka ,na jamii, wafugaji wanamchango kwetu tukiwa kama wawekezaji.

Alisema, licha ya hayo Lakini malighafi nyingine kama soya,mahindi wanapata Zambia na Malawi Jambo ambalo ni changamoto kwao.

Aliomba wafugaji kukimbilia fursa ya kutumia kiwanda hicho kurahisisha kupata soko huku changamoto zao zikiendelea kufanyiwa kazi.

Awali mkuu wa wilaya ya Kibaha Sara Msafiri,alisema wilaya inaendelea kushirikiana na wawekezaji pamoja na wafugaji kutatua changamoto zinazowakabili ili kuinua maendeleo ya sekta ya Mifugo na kukuza uchumi.

Kiwanda hicho Ni moja ya viwanda ambavyo vimetembelewa na mwenge wa uhuru Mkoani Pwani na kuhimiza wawekezaji kutoa ajira hasa kwa wazawa , kushirikiana kwa maendeleo ndani ya jamii na kulipa Kodi ili kuongeza Pato la Taifa.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.