• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa wilaya ya Kibaha Akabidhiwa Ofisi Rasmi .

Posted on: January 30th, 2023

Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya kibaha Sara Msafiri amemkabidhi rasmi ofisi mkuu mpya wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson John makabidhiano hayo yamefanyika katika Halmashauri ya mji Kibaha na kushuhudiwa na kamati ya ulinzi na usalama, wenyeviti wa halmashauri zote mbili pamoja na watendaji kutoka taasis mbali mbali za serikali.

Akiongea kwenye makabidhiano hayo Sara amezikushuru halmashauri pamoja na tasisi za serikali viongozi wa dini kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichofanya kazi kibaha.

“niwashukuru Wakurugenzi wangu na kamati ya ulinzi na usalama mmenipa ushirikano hakuna mahali tumewahi kushindwa kila lilipotokea jambo tulishirikiana kwa karibu ,naamini teamwork pays mkifanya kazi kwa ushirikiano lazima mtashinda niwaombe ushirikiano mlionipa muonyeshe kwa Dc mpya ili tuzidi kumsaidia Mhe. Rais”

Sara amesema amejifunza vitu vingi sana  alipokuwa mkuu wa wilaya ikiwemo utawala hivyo atatumia ujuzi huo kuendelea mbele.

Mkuu wa wilaya ya Kibaha Nickson amesema anaamini katika teamwork anaamini watu wakifanya kazi kwa ushirikiano kazi zitaenda vizuri hivyo kuwataka watumishi kufanya kazi kwa kushirikiana ili kuleta maendeleo katika wilaya ya Kibaha.

Nickson ameziomba taasis zote na Halmashauri kushirikiana nae kwenye kazi ili kuweza kutengeneza ndoto ya pamoja ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Kibaha.

Akiongea kwenye makabidhiano hayo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kibaha Mhe. Erasto Makala amempongeza Sara kwa juhudi alizoonyesha alipokuwa Mkuu wa wilaya kwani miradi mingi imejengwa Kibaha chini ya uongozi wake.

Makala amempongeza Nicksoni kwa kuendelea kuaminiwa na Mhe. Rais  na kumuahidi kumpa ushirikiano wa kutosha .

“Nickson sio mgeni kwenye ukuu wa Wilaya najua amefanya vizuri Kisarawe naomba niamini kwenye ndoto ulizosema ,  kibaha tunaamini kwenye teamwork nikuhakikishie sisi wenyeviti tutakupa ushirikiano wa kustosha” alisema Makala.

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Kibaha mji Mhe.Ndomba amemshukuru Sara kwa utendaji mzuri na kusema ameacha alama kwani alikuwa anaweza kuingia sehemu ambayo watu wengine hawawezi kuingia .

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya kibaha Butamo Ndalahwa amesema Sara ameacha alama kwani chini ya uongozi wake halamshauri hiyo iliweza kushika namba moja katika ukuasanyaji mapato.

Pia aliweza kusimamia uazishwaji wa kongani za viwanda ya Disunyara na kwala . Butamo amemuhakikishia mkuu wa wilaya kuwa yeye na Cmt yake watampa ushirikiano wa kutosha .

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • WWF YAKABIDHI MICHE YA MICHIKICHI KUHIFADHI KINGO ZA MTO RUVU

    May 24, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU NA UWEKAJI WAZI TAARIFA ZA MPIGA KURA AWAMU YA PILI YAFANYIKA KIBAHA

    May 14, 2025
  • WATAALAM WA AFYA PWANI WAKUTANA KUJADILI KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

    May 14, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA SIASA WARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KIBAHA DC

    May 07, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.