• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kiongozi Wa Mwenge Wa Uhuru Aridhishwa Na Mradi Wa Maji Wa Ruwasa Ruvu Stesheni

Posted on: May 17th, 2023

Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi katika mradi wa Maji wa Ruvu Stesheni ambao uliibuliwa na wananchi baada ya mradi wa awali kutokidhi mahitaji ya sasa.

Mradi huo ambao unatarajia kukamilika June mwaka huu unatekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kibaha kwa gharama ya sh.Miln 328.7.

Akitoa taarifa wakati Mwenge wa Uhuru ulipofika katika mradi huo kuweka jiwe la Msingi Meneja wa RUWASA Wilaya ya Kibaha Mhandis Debora Kanyika amesema mradi huo umehusisha ujenzi wa tenki la maji la lita 50,000 juu ya mnara wa mita 12.

Aidha amesema mradi huo unaendana na kampeni ya Kitaifa ya kusogeza huduma karibu na wananchi ili kumtua mama ndoo kichwani na kwamba kila ndoo ya lita 20 itauzwa kwa sh. 40.

Amesema awali mradi huo ulikuwa unahudumia na unaunganishia wananchi maji nyumbani na kwenye Taasisi na sasa mradi huo umeongeza wanufaika wapya waliokuwa mbali na huduma ya maji.

"Ndugu kiongozi wa Mbio za Mwenge mradi huu ukikamilika utahudumia wananchi kwa miaka 20 ambapo utatoa huduma kwa wananchi hadi kufikia kaya 520 kwa mwaka 2042" amesema.

Mhandisi Debora amesema mradi huo pia unahusisha ujenzi wa vituo sita vya kuchotea maji, nyumba ya mtambo na utandazaji wa mabomba umbali wa km 3.7

Katika hatua nyingine Mwenge wa Uhuru umezindua vyumba vitano vya Madarasa ambavyo vinalwenda kutatua tatizo la.msongamano uliotokana na ongezeko la wanafunzi kutokana na sera ya elimu bila Malipo

Mwenge wa Uhuru umepitia miradi 14 yenye thamani ya sh. Trillion 3.1kati ya fedha hizo sh. Miln 193.5 mchango wa Halmashauri, sh. Biln 5.9 kutoka Serikali kuu na Trilion 3.1 nguvu za wananchi na michango ya mwenge ni sh. Miln 3.1.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa 2023 Abdallah Shaib amepongeza miradi ya utunzaji wa mazingira inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo ikiwemo upandaji miti unaoendelea kwenye Taasisi na maeneo mbalimbali.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • WENYEVITI MAMLAKA YA MJI MDOGO MLANDIZI WAHIMIZWA KUPELEKA MAENDELEO KWA WANANCHI NA KULINDA MIPAKA YA VITONGOJI

    June 05, 2025
  • WWF YAKABIDHI MICHE YA MICHIKICHI KUHIFADHI KINGO ZA MTO RUVU

    May 24, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU NA UWEKAJI WAZI TAARIFA ZA MPIGA KURA AWAMU YA PILI YAFANYIKA KIBAHA

    May 14, 2025
  • WATAALAM WA AFYA PWANI WAKUTANA KUJADILI KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

    May 14, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.