Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Katibu Tawala Mkoa Wa Pwani Amekagua Miradi ya Maendeleo

Posted on: September 26th, 2022

Katibu Tawala   Mkoa wa Pwani, Zuwena Omari amefanya ziara ya kutembela miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya kibaha akiwa na lengo la kujionea jinsi miradi hiyo inavyotekelezwa.

Miradi iliyotembelewa na katibu Tawala ni pamoja na ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Kikongo, ujenzi wa wodi mbili, jengo la kuhifadhia maiti, chumba cha upasuaji na ujenzi wa wodi mbili za upasuaji katika hospitali ya wilaya Disunyara.

Katibu Tawala pia alitembelea ujenzi wa jengo la ofisi ya Tarafa Mlandizi lilojengwa Katika Kitongoji cha Disunyara,  pia alikagua shughuli za walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF), Alitembelea eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa soko , mwisho alitembelea ujenzi wa Zahanati ya Vikuruti.

Akiongea baada ya kukagua miradi hiyo Katibu  Tawala ameipongeza Halmashauri kwa jinsi wanavyosimamia miradi ya maendeleo  kwani miradi mingi imejengwa kwa ubora.

Pamoja na pongezi hizo Zuwena aaliwataka watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kibaha kujua kuwa wanapotekeleza majukukumu yao wajue kuwa kuna wenzapo pia wanatekeleza majukumu kama yao

“Tunapotekeleza mambo yetu yote lazima tujue kuna wenzetu tunafanya nao , sio tu tunajilinganisha ili wao wawe nyuma lakini tunataka kuona vile vinavyotekeleza kule kwao kwa  uzuri  na changamoto ili na sisi tuweze kujifunza kwa yale mazuri na kwa changamoto tujifunze ili kwetu zisije kutokea na wenzetu tuwape fursa ya kuja kujifunza  kwetu lengo ikiwa kuwezesha serikali iweze kufanya mambo yake kwa uzuri.”

Pia Katibu Tawala aliwataka Watumishi wa Halmashauri hiyo kujiamini kwani wao ndio wanauwezo wa kutatua changamoto zote zinazowazunguka kwenye maeneo yao ya kazi  kwani kila mmoja pale alipo ndio panamtosha  na ndio mtatuzi wa changamoto zote pale alipo .

Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri Butamo Ndalahwa alimuhakikishia katibu Tawala Mkoa kwamba hawatamuangusha na wataongeza kasi ya kusimamia miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • WWF YAKABIDHI MICHE YA MICHIKICHI KUHIFADHI KINGO ZA MTO RUVU

    May 24, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU NA UWEKAJI WAZI TAARIFA ZA MPIGA KURA AWAMU YA PILI YAFANYIKA KIBAHA

    May 14, 2025
  • WATAALAM WA AFYA PWANI WAKUTANA KUJADILI KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

    May 14, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA SIASA WARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KIBAHA DC

    May 07, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.