• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kandege Aipigia Salute ya Kampeni ya Elimisha Kibaha

Posted on: June 24th, 2020

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Josephat Kandege amezindua madarasa 32 na ofisi nne za walimu katika shule za sekondari,yaliyojengwa kupitia kampeni ya ELIMISHA KIBAHA,mkoani Pwani ambayo yatapunguza changamoto iliyokuwepo awali ya mlundikano wa wanafunzi madarasani na yatatumiwa na wanafunzi takriban 900.

Katika hafla hiyo ya kukabidhi madarasa hayo,amewaasa wazazi na walezi kuwapa elimu watoto wao na kuhakikisha wanafuatilia maendeleo ya taaluma zao ili baadae watumie fursa ya viwanda vinavyojengwa kwa wingi mkoani humo .

Alisema ELIMISHA KIBAHA ni kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli za kuhakikisha elimu inatolewa bure kwa kila mwanafunzi wa darasa la awali hadi kidato cha nne.

“Haya ni maelekezo ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015,ambayo nina ujasiri wa kusema ninyi Kibaha, mmetekeleza,na nawaagiza wakuu wa wilaya wengine waige mfano wako mkuu wa wilaya ya Kibaha ambae umebuni kampeni hii na kuzaa matunda”alisema Kandege.

Alieleza, hii ni hatua kubwa ,kwani kama mkuu huyo wa wilaya angekaa kusubiri ruzuku ya serikali kuu ama mapato ya halmashauri ndiyo yajenge azma hii isingetimia kwa mwaka mmoja huu.

Kandege alifafanua ,kiuhalisia haiwezekani kuwa na Taifa lililoelimika kama hakuna mazingira bora ya sekta ya elimu ,hali itakayofanya watanzania wawe na ujuzi wa kutosha katika matumizi ya rasilimali zilizopo na fikra chanya za maendeleo. Hivyo,ubunifu uliofanyika umelenga katika kufikia malengo ya dira ya maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025.

‘”Mkoa wa Pwani umejikita katika uwekeaji wa viwanda ambapo kuna viwanda 47 ambavyo ni vikubwa,vya kati na vidogo vinavyofanyakazi,hii ni fursa kwa wanafunzi kuchangamkia ,kwani bila vijana wetu kuwa na elimu nafasi za kazi za kitaalamu kwenye viwanda hivyo vitachukuliwa na vijana wa mikoa mingine na nje ya nchi.”alisema Kandege.

Nae Mkuu wa wilaya ya Kibaha, Mhe.Assumpter Mshama amesema chimbuko la kampeni ya elimisha Kibaha limetokana na upungufu wa madarasa uliojitokeza mwaka 2019 kutokana na kuongezeka kwa ufaulu mwaka 2018 hali iliyosababisha baadhi ya shule wanafunzi waingie kwa awamu mbili.

“Kufuatia hali hii nilishirikiana na wadau wa maendendeleo ili kuondoa upungufu wa madarasa uliopo kwa halmashauri ya wilaya madarasa 34 na halmashauri ya Mji 

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA YA KIBAHA ATOA WITO KWA WENYEVITI WA MJI MDOGO MLANDIZI KUZINGATIA UADILIFU

    February 11, 2025
  • MAKAMU WA RAIS AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, ATOA WITO DHIDI YA UBADHILIFU

    April 02, 2025
  • ELIMU YA LISHE JUU YA USINDIKAJI WA BIDHAA ZA VYAKULA YATOLEWA KIBAHA DC.

    March 23, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri Amshukuru Rais Samia kwa Fedha za Miradi

    February 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.