• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
    • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • SP FINAL DRAFT
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasmali Watu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha Usimamizi wa Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi Sehemu ya Mifugo
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Afya ,Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

CHATANDA APONGEZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KATIKA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA

Posted on: June 14th, 2025

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (UWT-TAIFA), Mhe. Mary Pius Chatanda, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020/2025 katika miradi ya maendeleo ya jamii ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha.


Katika ziara hiyo, Mhe. Chatanda ametembelea miradi ya sekta ya afya, elimu, maji, viwanda na ujenzi, ikiwemo Stendi ya Mlandizi inayojengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Shule ya Msingi Mtongani, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mafanikio makubwa katika kusogeza huduma za kijamii karibu na wananchi kupitia sera ya “Kumtua Mama ndoo kichwani.”


Aidha, Mhe. Chatanda ametoa pongezi kwa Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini na Mkurugenzi wa Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo. Pia, aliwaongoza wananchi na viongozi katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa UWT eneo la Disunyara ambapo ahadi ya Shilingi milioni 11.2 ilitolewa ili kukamilisha ujenzi huo.


Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson John, alimueleza mgeni huyo mafanikio yaliyopatikana katika miaka mitano ya uongozi wa Rais Samia, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule mpya, vituo vya afya, na Hospitali ya Wilaya. Aliongeza kuwa Kibaha ni miongoni mwa maeneo yaliyonufaika na uwekezaji mkubwa kupitia kongani za viwanda za Modern Industrial Park na SINOTAN, pamoja na Bandari Kavu ya Kwala.


Mhe. Chatanda amehitimisha ziara yake kwa kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu ujao na kumchagua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wa CCM ili kuendeleza kasi ya maendeleo nchini.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA BVR HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • MABADILIKO YA TAREHE YA USAILI September 24, 2024
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • JUKWAA LA WANAWAKE KIBAHA DC LAFANYA UCHAGUZI, DKT. MAIMUNA AIBUKA MWENYEKIT

    June 23, 2025
  • MADIWANI KIBAHA WAAGWA RASMI, MAFANIKIO YASISITIZWA KAMA URITHI WA USHIRIKIANO

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA KIBAHA YAZINDUA ZOEZI LA UNYUNYIZIAJI VIUADUDU KUDHIBITI MALARIA

    June 17, 2025
  • KIBAHA DC YAVUKA MALENGO YA MAPATO, YAKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO

    June 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.