• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ardhi na Mipango Miji

  • Majukumu ya Idara ya Ardhi na Maliasili
  • Kuratibu uandaaji wa Mipango ya kimbinu ya kuendeleza Miji (Strategic Urban Development Plan).
  • Kuratibu uandaaji wa mipango ya maeneo yaliyoendelezwa kiholela.
  • Kuandaa michoro ya mipangomiji.
  • Kutoa masharti ya uendelezaji wa Ardhi.
  • Kupokea michoro ya Mipangomiji na taarifa za maeneo ya ardhi yanayopendekezwa kuiva kwa ajili ya uendelezaji kimji.
  • Kuchambua takwimu na taarifa kwa ajili ya maandalizi ya mipango mipya ya makazi.
  • Kupokea na kuweka kumbukumbu za maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi na umegaji wa viwanda.
  • Kuhakikisha kwa mabadiliko ya matumizi ya ardhi yanaingizwa katika michoro.
  • Kusimamia/Kuthibiti uendelezaji  wa makazi.
  • Kuratibu uandaaji wa mipango shirikishi ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji.
  • Kutoa ushauri wa uendelezaji wa ardhi kwa wananchi.
  • Kukagua kazi za Upimaji.
  • Kupima maeneo mbalimbali (Mashamba na viwanja).
  • Kuandaa michoro kwa ajili ya Hatimiliki za kisheria.
  • Kutunza kumbukumbu za Upimaji.
  • Kurudisha mipaka.
  • Kuhifadhi na Kutunza Misitu na  Mazingira.
  • Kuhimiza na kusimamia upandaji wa miti na kutunza misitu vijijini.
  • Usimamizi, ulinzi na utunzaji wa misitu na rasilimali zake.
  • Usimamizi wa sheria za Misitu.
  • Kusimamia, na kufuatilia  makusanyo na ushuru wa mazao ya misitu.
  • Ulinzi na usimamizi wa vyanzo na kinga za maji, utunzaji wa udongo na ulinzi wa mimea.
  • Kusimamia hifadhi za misitu na kutoa elimu kwa jamii.
  • Kusimamia shughuli zote za ufugaji nyuki vijijini.
  • Kutunza mazingira ya  nyuki yaliyopo pamoja na kupanda miti ifaayo kwa nyuki.
  • Kuhamasisha na kueneza kwa  jamii na wanavijiji kufuga na kutunza nyukii  kisasa.
  • Kuhamasiha jamii kutengeneza mizinga  ya  kisasa  ya gharama nafuu kwa kuzingatia mazingira yao
  • Kuunda na kusimamia vikundi vya ufugaji nyuki vijijini.
  • Kusimamia mazao ya ufugaji nyuki.
  • Kutoa elimu kwa jamii kuhusu ufugaji nyuki wa kisasa huko vijijini.
  • Kuhamasiha watu binafsi taasisi mbalimbali kufuga nyuki kwa lengo la kujiongezea kipato na lishe.
  • Kutunza mazingira na wanyamapori.
  • Kusimamia shughuli zote za wanyamapori vijijini.
  • Kulinda watu na mazao kutohariibiwa na  wanyamapori.
  • Kushughulikia leseni za uwindaji wa wanyamapori.
  • Kulinda wanyamapori.
  • UTEKELEZAJI  IDARA YA ARDHI
  • Idara ya ardhi imeweza kutekeleza yafuatayo;

MALENGO

UTEKELEZAJI


Kupima viwanja
Hadi kufikia 2015, jumla ya viwanja 5,541 vimepimwa katika eneo la Mamlaka ya Mji Mdogo Mlandizi. Zoezi la upimaji linaendelea.
Kutoa Hati Miliki za Ardhi
Hadi kufikia 2015, jumla ya Hati Miliki 3,050 zimetolewa kwa viwanja vilivyopimwa mamlaka ya Mji Mdogo Mlandizi. Zoezi linaendelea.
Kupima Mipaka ya Vijiji
Hadi kufikia 2015, jumla ya Vijiji 21 vimepimwa. Zoezi linaendelea.
Kujenga Masjala za Ardhi Wilayani na Vijijini
Hadi kufikia 2015, jumla ya Vijiji 9 ambavyo ni Mpiji Station, Kipangege, Soga, Kwala, Misufini, Dutumi, Minazi mikinda, na Lukenge vimejenga Ofisi Imara ambazo zinaweza kutumika kuifadhi nyaraka za Kumiliki Ardhi. Zoezi linaendelea katika maeneo mengine yaliyobaki.

Matangazo

  • Wadaiwa wa Viwanja kibaha June 15, 2020
  • WANAHITAJIKA MAFUNDI WA KAZI ZA UJENZI KWA MATUMIZI YA NJIA YA "FORCE ACCOUNT" January 05, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita Shule za Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha July 11, 2019
  • Kuhamia Mji Mdogo wa Mlandizi October 31, 2019
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • Bajeti ya 2021/22yapitishwa kwa Kishindo na Baraza la Madiwani Kibaha

    January 22, 2021
  • Halmashauri ya wilaya ya kibaha Imeendesha Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wahe.Madiwani.

    December 15, 2020
  • Mwakamo Aridhishwa na Matumizi ya Fedha

    December 03, 2020
  • Kibaha Dc Wakabidhi Madawati 127 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kutekeleza Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kuhusu Utengenezaji wa Madawati Katika Shule za Sekondari

    September 11, 2020
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.