• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kibaha District Council
Kibaha District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
        • SP FINAL DRAFT
      • Mazingira na Usafishaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Maji
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uchumi na Mipango
      • Maadili
      • UKIMWI
      • Huduma za Jamii
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Afya na Ustawi wa Jamii

Majukumu ya Idara ya Afya Kusimamia shughuli zote za utoaji wa huduma za Afya kwa kufuata miongozo na seraza afya na ubora unaohitajika ,pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu masualayote yahusuyo afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali. Kuandaa Mpango kabambe wa Afya wa mwaka na kutoa taarifa za utekelezaji washughuli za afya kama zilivyo ainishwa katika Mpango na kuziwasilisha katika mamlakahusika. Kufanya ziara za usimamizi na ufuatiliaji wa utaoji wa huduma za afya katika vituo vyotevya kutolea huduma za afya katika Wilaya. Kusimamia usambazaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi katika vituo vyote vyahuduma Wilayani na kuhakikisha dawa zinakuwepo vituoni. Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya Afya. Kutoa huduma za outreach na mobile kliniki katika kuboresha utoaji wa huduma za Afya. Kusimamia watumishi wa Afya na kuhakikisha kuwa wanafanya kazi kwa kuzingatiamaadili ya kazi, kanuni na miongozo mbalimbali zinazosimamia utendaji wa watumishi, Kusimamia rasilimali na nyenzo za kuendesha huduma zote za Afya na kuzitunza. Kuhamasisha jamii kuchangia huduma za Afya na kushiriki katika kampeni mbalimbaliza Afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA September 13, 2019
  • Kuhamia Mji Mdogo wa Mlandizi October 31, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha Sita Shule za Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha July 11, 2019
  • Wafanyabiashara ya mazao ya chakula September 14, 2018
  • Angalia Vyote

Matukio mapya

  • TAARIFA KWA UMMA UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2020

    December 06, 2019
  • WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI WALIOCHAGULIWA WAAPISHWA LEO TAREHE 28/11/2019

    November 28, 2019
  • Ofisi ya Mkurugenzi Kibaha kuhamia Disinyara Mlandizi

    October 31, 2019
  • Ndikilo Akabidhi Pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote wa Mkoa Pwani

    August 19, 2019
  • Angalia Vyote

Video

Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Kuzindua bunge
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TOVUTI YA MKOA WA PWANI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA AJIRA
  • TOVUTI YA WANANCHI
  • TOVUTI YA BARAZA LA MITIHANI
  • TOVUTI YA WIZARA YA AFYA
  • TOVUTI YA EWURA

Tovuti Zinazoshabihiana

  • TAMISEMI
  • MKOA WA PWANI
  • TANZANIA
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

Free Visitor&Stat Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    KIBAHA DISTRICT COUNCIL

    Anwani ya Posta: P.O BOX 30153

    Simu ya Mezani: +255 23240224

    Simu: +255 0767520048

    Barua pepe: ded.kibaha@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Disclamer
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM)
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2017 Kibaha District Council . All rights reserved.